Sunday, 8 January 2017

Bidder - Wanamuziki wa ki-Africa kuimba kwenye vilabu vya mbege majuu

Bidder - Underground Rapper anae ishi na kufanyia shughuli zake za ki muziki nchini Uingereza awaasa wanamuziki wakitanzania wanao kwenda kufanya show zao majuu kuwa makini, la sivyo wataishia kuimba kwenye vilabu vya mbege .
King Bida awaasa wanamuziki wa kiafrica especially Tanzanian bongo flever to be makini inapokuja na kualikwa kufanya show majuu, Bidder explain the conditions of stage and mazingira wanayo kwenda ku pafom, kuwa hayana uzito na na heshima kama wanamuziki wenyewe walivyo, alisisitiza kuwa , wasanii hualikwa kwenye kumbi ambazo alizi describe kama ‘ Vilabu vya mbege’ Bidder alisisitiza kuwa tokea 2005 ameshuhudia wanamuziki kama Juma necha and alikiba wakija na kupaerform kwnye vilabu visivyo na wadhifa wao.. ameonya  wasanii kuwa waangalifu ijapo kwenye wito wa ku perfom iwe Uingereza na ulaya kwa ujumla au iwe Canada na America.

Wasanii msikimbilie tu kuparamia pipa na kujikuta mnaimbia watu chini ya 300,. Bidder ambaye anasikilizia soko la mziki liwe
la kueleweka kabla ya kushusha album zake 4 za real African hip-hop hivi  karibuni..

Tuesday, 8 December 2015

Safari ya Hip-Hop

Safari hii wameamua kupumbaza kwa staili ya aina yake, wanakuja kidizain, mmoja mmoja waki wekeza na kuchota kwa kuchota. walianzia juu wakafika mpaka south africa sasa hivi wana panda taratibu huku waki malizia, .. Mugabe kawatimua sisi ndio tuna wakaribisha, wanyonyaji wafisadi, wamevaa ngozi ya kondoo {weupe} lakini roo zao zinakiu ya kubeba na kuji limbikizia.

Hebu cheki mererani na kwenye machimbo mengine utaamini kuwa wanakuja mmoja mmoja ila kama mililioni moja, wana chota kwa kusomba, mamashine makubwa yenye uwezo wa kufyonza hazina ya kizazi chetu kwa sekunde na kutuacha watupu, walianza kuipumbaza serikali sasa hivi mpaka vyumbani wanaingia , eti mavoluntia!!! nani kasema kunamtu asio taka kulipwa maishani? hivyo ni viji staili tu vya kidizain... kifupi wanakuja kuchota hata ujuzi na nafasi zetu za kazi kwenye future.

haya mi yangu macho tuu! sijui kama kizazi cha mwafrica kitapata nafasi ya kuiongoza dunia , zaidi ya kuendelea kuwa wa kwanza kwenye listi ya masikini wa dunia,

Ndoto zangu za zam ya mwafrica kuiongoza Dunia zime anza kufifia
haswa kwajinsi tulivyo hatuna hisia, ...

Iweje Mugabe awafukuze sisi tuwakaribishe?

Bida
Mzee wa Hisia kali za Chaka asilia

Tuesday, 18 March 2014

Bongo Fleva taratibuni - This Summer KingBida awaasa 2016

KingBida on his Big Summer tour which began 2010
The founder and leader of the Real African Hip-hop , was snaped
with one of  MandelaZ paparazi, while he was having some good time at  beach in Bournemouth with his TMC-crew member. Bida himself told Paparazi, that Big Summer is the best summer time tune ever, It was just two weeks from release. Thus why KB was better hanging out in wet areas aka beach to gate the feelings of Big summer.

The Big summer tune is the tune you want to hear at the top -loudest of your speaker. Bida wrote this tune live from the real feeling he was tying to reaveale to his fun , the way he understand summertime good time. 
Big summer is among the KamaKazi Mixtape Vol 1[2010] and vol.2 2016. with the rest 33 quality songs choosen by John aka Bida himself. He put these nice ghetto songs out on his online website and social media for funs to select 9 songs which will be The Make Of Kamakazi. As Foundation. The mixtape is out now at www.mandelaz.co.uk volume 2 and at KingBidaMusic.com

for more news about kingbida and the Big Summer tune dont hesitete to follow kingbida on facebook and other media like youtube kingbida and twiter kingbida mandelaz or at myspace john mrecha or just google The Real African Hip-Hop artist. you will meet face to face with Bida. 

Active from 1990's to present.


Wednesday, 14 July 2010

Mna Nisikia?

Mna Nisikia track imeingia kwa kishindo ndani ya kamakazi album kwa kuifanikisha project ya kamikaze kama anavyo dai Bida mwenyewe anasema kuwa alifurahi sna kupewa nafasi yakuwa ni MC wa pekee kuruhusiwa kuinglilia project ya jcb na kufanya track.. Hivyo bida alipewa mwaliko na JCB kwa kukabiziwa mchapakazi Daz, bida bila kujivunga alitupatupa hisia zake na kulipua Mnanisikia , track ambayo ina msisimko wa kumpa mwana hiphop yeyote feeling za kiuhakika.. kwenye track hii kingbida amejaribu kusamaraiz his journey a-z kwenye gam nakuwapa uhakika mashabiki zake kuwa kuanzia sasa yupo mbele yao kila siku kila saaa kila sekunde na kila dakika teari kukabiliana na shida zao..

 for more news about this heavy duty MC keep digging on http://kingbida.blogspot.com/

Sunday, 11 July 2010

KamiKaze Album 2010

Yes kamakazi album imeiva na ipo ready kupakuliwa.. get ready kwa mikito ya gheto..

  
Baada ya kusota sana katika game hili la kufoka foka , mbali ya kuwa  mwanamziki huyu amekuwa kama kioo cha mafanikio cha mafanikio ya wanamziki wengi watokao Eastafrica, King bida ndani ya muda mfupi sana ameweza kufanya kazi ambayo ni ngumu sana kwa solo arts kuifanya. hata international artist wengi huishia kuepua album chini yanyimbo nane au hata sita, mbali yakuwa , instrumental wanatengenezewa na mtu mwingine, cd cover na mtu mwingine , mistari waandikiwe na mtu mwingine, sauti yakuimba hata jinsi ya kucheza etc wapate kwa mtu mwingine, usisahau website arts na publishing wapate kutoka kwa mtu mwingine.. ila hivi vyote kwa kingbida ni nop.. anafanya a-z mwenyewe nandio kinacho mpa umati wa mashabiki, na kazi zake kuzidi kudumbukia kwenye hisia za watu wa aina mbali mbali kote duniani


kwa hapo juu ni dondoo tu za kutokea KC productionz, pati gazeti ya album






KingBida mwenyewe akiwa kwenye mishemishe za ki African HipHop

From KwaChini Productionz ,KingBida anaepua, Album yenye nyimbo 16 na bonus kibao juu, usikose huu uhondo wa hiphop ilivyo chezewa kama never before.African rap sikuzote ilikua iko mbele ila media ndio bado zinabana. Unajua mtu mpaka ujitoe muhanga ile sana. mpaka sometime unakonda, inabidi uiage familia kwa muda ili uweze kuweka fani kwenye mstari..Iwe ni kwa style yeyote ile iwe Bongo fleva au mduara.

Kinacho mata ni ujumbe wako unapokelewa na baadhi ya wanajamii. je hilo ndilo lililokuwa lengo lako.


kama unapenda udaku wa mambo flani flani ya ngono na mahaba bofya hapa.welcome to Kingbida net work
http://changudoa.blogspot.com/